2 Samweli 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na ikawa kwamba wakati wachukuzi+ wa lile sanduku la Yehova walipokuwa wamepiga hatua sita, akatoa mara moja dhabihu ya ng’ombe na kinono.+ 1 Wafalme 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli pamoja naye, wale waliokutana naye kwa wakati uliowekwa, walikuwa mbele ya lile Sanduku, wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.+
13 Na ikawa kwamba wakati wachukuzi+ wa lile sanduku la Yehova walipokuwa wamepiga hatua sita, akatoa mara moja dhabihu ya ng’ombe na kinono.+
5 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli pamoja naye, wale waliokutana naye kwa wakati uliowekwa, walikuwa mbele ya lile Sanduku, wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.+