1 Mambo ya Nyakati 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na ikawa kwamba wakati Mungu wa kweli alipowasaidia+ Walawi wakiwa wamelichukua sanduku la agano la Yehova, wakatoa dhabihu ng’ombe-dume saba wachanga na kondoo-dume saba.+
26 Na ikawa kwamba wakati Mungu wa kweli alipowasaidia+ Walawi wakiwa wamelichukua sanduku la agano la Yehova, wakatoa dhabihu ng’ombe-dume saba wachanga na kondoo-dume saba.+