Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 15:1

Marejeo

  • +2Sa 7:1
  • +1Nya 16:1; Zb 132:5; Mdo 7:46

1 Mambo ya Nyakati 15:2

Marejeo

  • +Hes 4:15; Kum 10:8; 31:9; Yos 3:3; 1Nya 15:15
  • +Kut 40:15; Hes 8:15; 18:2; Kum 21:5

1 Mambo ya Nyakati 15:3

Marejeo

  • +1Nya 13:5
  • +2Sa 6:12

1 Mambo ya Nyakati 15:4

Marejeo

  • +Hes 3:3, 9; 1Nya 6:49

1 Mambo ya Nyakati 15:5

Marejeo

  • +1Nya 15:11

1 Mambo ya Nyakati 15:6

Marejeo

  • +1Nya 6:1
  • +1Nya 6:30

1 Mambo ya Nyakati 15:7

Marejeo

  • +Hes 3:17
  • +1Nya 23:8

1 Mambo ya Nyakati 15:8

Marejeo

  • +Kut 6:22
  • +1Nya 15:11

1 Mambo ya Nyakati 15:10

Marejeo

  • +Kut 6:18; 1Nya 6:18

1 Mambo ya Nyakati 15:11

Marejeo

  • +2Sa 8:17; 1Nya 12:28
  • +1Sa 22:20; 1Fa 2:35
  • +1Nya 15:5
  • +1Nya 6:30
  • +1Nya 15:7
  • +1Nya 15:8
  • +1Nya 15:9

1 Mambo ya Nyakati 15:12

Marejeo

  • +1Nya 9:34; 24:31
  • +1Sa 7:1

1 Mambo ya Nyakati 15:13

Marejeo

  • +2Sa 6:3; 1Nya 13:7
  • +2Sa 6:8; 1Nya 13:11
  • +Hes 4:15; 7:9; Kum 31:9

1 Mambo ya Nyakati 15:14

Marejeo

  • +2Nya 29:15, 34

1 Mambo ya Nyakati 15:15

Marejeo

  • +Kut 25:14
  • +Kut 37:5; Hes 4:6; 2Nya 5:9

1 Mambo ya Nyakati 15:16

Marejeo

  • +1Nya 6:31; 15:27
  • +1Fa 10:12; 2Nya 5:13
  • +1Nya 16:5; Zb 33:2
  • +Zb 149:3
  • +2Nya 5:12

1 Mambo ya Nyakati 15:17

Marejeo

  • +1Nya 6:33; 25:5
  • +1Nya 6:39; 25:2; Zb 83:utangulizi
  • +1Nya 6:44

1 Mambo ya Nyakati 15:18

Marejeo

  • +1Nya 25:9
  • +1Nya 16:5
  • +1Nya 15:21; 16:5

1 Mambo ya Nyakati 15:19

Marejeo

  • +1Nya 6:33; 25:1; 2Nya 5:12
  • +1Nya 15:17
  • +1Nya 13:8

1 Mambo ya Nyakati 15:20

Marejeo

  • +1Nya 15:18
  • +Zb 46:utangulizi

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2012

1 Mambo ya Nyakati 15:21

Marejeo

  • +1Nya 16:5
  • +1Sa 10:5; 1Nya 25:6; Zb 92:3
  • +Zb 6:utangulizi

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2030

1 Mambo ya Nyakati 15:22

Marejeo

  • +1Nya 15:27
  • +1Nya 25:7; Met 22:29

1 Mambo ya Nyakati 15:23

Marejeo

  • +1Nya 9:21

1 Mambo ya Nyakati 15:24

Marejeo

  • +1Nya 16:6; 2Nya 15:14; 23:13

1 Mambo ya Nyakati 15:25

Marejeo

  • +2Sa 6:12
  • +1Fa 8:1
  • +Hes 31:14; 1Sa 8:12
  • +1Nya 13:14
  • +2Sa 6:5

1 Mambo ya Nyakati 15:26

Marejeo

  • +Mdo 26:22
  • +2Sa 6:13

1 Mambo ya Nyakati 15:27

Marejeo

  • +1Nya 15:22
  • +1Fa 10:12; 1Nya 9:33; 2Nya 5:12
  • +1Sa 2:18

1 Mambo ya Nyakati 15:28

Marejeo

  • +2Sa 6:15; 1Nya 13:8
  • +2Sa 6:15
  • +1Nya 16:6
  • +1Nya 15:16
  • +2Sa 6:5

1 Mambo ya Nyakati 15:29

Marejeo

  • +Hes 10:33; 1Nya 17:1; Ebr 9:4
  • +1Sa 18:27; 2Sa 3:13
  • +Kut 15:20; Zb 30:11
  • +2Sa 6:16; Met 11:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 15:12Sa 7:1
1 Nya. 15:11Nya 16:1; Zb 132:5; Mdo 7:46
1 Nya. 15:2Hes 4:15; Kum 10:8; 31:9; Yos 3:3; 1Nya 15:15
1 Nya. 15:2Kut 40:15; Hes 8:15; 18:2; Kum 21:5
1 Nya. 15:31Nya 13:5
1 Nya. 15:32Sa 6:12
1 Nya. 15:4Hes 3:3, 9; 1Nya 6:49
1 Nya. 15:51Nya 15:11
1 Nya. 15:61Nya 6:1
1 Nya. 15:61Nya 6:30
1 Nya. 15:7Hes 3:17
1 Nya. 15:71Nya 23:8
1 Nya. 15:8Kut 6:22
1 Nya. 15:81Nya 15:11
1 Nya. 15:10Kut 6:18; 1Nya 6:18
1 Nya. 15:112Sa 8:17; 1Nya 12:28
1 Nya. 15:111Sa 22:20; 1Fa 2:35
1 Nya. 15:111Nya 15:5
1 Nya. 15:111Nya 6:30
1 Nya. 15:111Nya 15:7
1 Nya. 15:111Nya 15:8
1 Nya. 15:111Nya 15:9
1 Nya. 15:121Nya 9:34; 24:31
1 Nya. 15:121Sa 7:1
1 Nya. 15:132Sa 6:3; 1Nya 13:7
1 Nya. 15:132Sa 6:8; 1Nya 13:11
1 Nya. 15:13Hes 4:15; 7:9; Kum 31:9
1 Nya. 15:142Nya 29:15, 34
1 Nya. 15:15Kut 25:14
1 Nya. 15:15Kut 37:5; Hes 4:6; 2Nya 5:9
1 Nya. 15:161Nya 6:31; 15:27
1 Nya. 15:161Fa 10:12; 2Nya 5:13
1 Nya. 15:161Nya 16:5; Zb 33:2
1 Nya. 15:16Zb 149:3
1 Nya. 15:162Nya 5:12
1 Nya. 15:171Nya 6:33; 25:5
1 Nya. 15:171Nya 6:39; 25:2; Zb 83:utangulizi
1 Nya. 15:171Nya 6:44
1 Nya. 15:181Nya 25:9
1 Nya. 15:181Nya 16:5
1 Nya. 15:181Nya 15:21; 16:5
1 Nya. 15:191Nya 6:33; 25:1; 2Nya 5:12
1 Nya. 15:191Nya 15:17
1 Nya. 15:191Nya 13:8
1 Nya. 15:201Nya 15:18
1 Nya. 15:20Zb 46:utangulizi
1 Nya. 15:211Nya 16:5
1 Nya. 15:211Sa 10:5; 1Nya 25:6; Zb 92:3
1 Nya. 15:21Zb 6:utangulizi
1 Nya. 15:221Nya 15:27
1 Nya. 15:221Nya 25:7; Met 22:29
1 Nya. 15:231Nya 9:21
1 Nya. 15:241Nya 16:6; 2Nya 15:14; 23:13
1 Nya. 15:252Sa 6:12
1 Nya. 15:251Fa 8:1
1 Nya. 15:25Hes 31:14; 1Sa 8:12
1 Nya. 15:251Nya 13:14
1 Nya. 15:252Sa 6:5
1 Nya. 15:26Mdo 26:22
1 Nya. 15:262Sa 6:13
1 Nya. 15:271Nya 15:22
1 Nya. 15:271Fa 10:12; 1Nya 9:33; 2Nya 5:12
1 Nya. 15:271Sa 2:18
1 Nya. 15:282Sa 6:15; 1Nya 13:8
1 Nya. 15:282Sa 6:15
1 Nya. 15:281Nya 16:6
1 Nya. 15:281Nya 15:16
1 Nya. 15:282Sa 6:5
1 Nya. 15:29Hes 10:33; 1Nya 17:1; Ebr 9:4
1 Nya. 15:291Sa 18:27; 2Sa 3:13
1 Nya. 15:29Kut 15:20; Zb 30:11
1 Nya. 15:292Sa 6:16; Met 11:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 15:1-29

1 Mambo ya Nyakati

15 Naye akaendelea kujijengea nyumba+ katika Jiji la Daudi; naye akatayarisha mahali+ kwa ajili ya sanduku la Mungu wa kweli na kulisimamishia hema. 2 Ndipo Daudi aliposema: “Mtu yeyote asilibebe sanduku la Mungu wa kweli isipokuwa Walawi, kwa maana Yehova amewachagua hao ili walibebe sanduku la Yehova+ na kumhudumia+ mpaka wakati usio na kipimo.” 3 Kisha Daudi akawakutanisha Israeli wote katika Yerusalemu+ ili kulipandisha sanduku+ la Yehova mpaka mahali pake ambapo alikuwa amelitayarishia.

4 Na Daudi akawakusanya wana wa Haruni+ na Walawi; 5 wa wana wa Kohathi, Urieli+ mkuu na ndugu zake, 120; 6 wa wana wa Merari,+ Asaya+ mkuu na ndugu zake, 220; 7 wa wana wa Gershomu,+ Yoeli+ mkuu na ndugu zake, 130; 8 wa wana wa Elisafani,+ Shemaya+ mkuu na ndugu zake, 200; 9 wa wana wa Hebroni, Elieli mkuu na ndugu zake, 80; 10 wa wana wa Uzieli,+ Aminadabu mkuu na ndugu zake, 112. 11 Tena, Daudi akawaita Sadoki+ na Abiathari+ makuhani, na Walawi Urieli,+ Asaya+ na Yoeli,+ Shemaya+ na Elieli+ na Aminadabu, 12 naye akawaambia: “Ninyi ndio vichwa+ vya upande wa baba vya Walawi. Jitakaseni,+ ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimelitayarishia. 13 Kwa sababu mara ya kwanza hamkufanya hivyo,+ Yehova, Mungu wetu, alitulipukia,+ kwa kuwa hatukumtafuta kulingana na desturi.”+ 14 Basi makuhani na Walawi wakajitakasa+ ili walipandishe sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli.

15 Ndipo wana wa Walawi wakaanza kulibeba+ sanduku la Mungu wa kweli, kama Musa alivyoamuru kwa amri ya Yehova, juu ya mabega yao na fimbo zikiwa juu yao.+ 16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.

17 Basi Walawi wakamweka Hemani+ mwana wa Yoeli na, kati ya ndugu zake, Asafu+ mwana wa Berekia; na, kati ya ndugu zao wana wa Merari, Ethani+ mwana wa Kushaya; 18 na pamoja nao ndugu zao wa mgawanyo wa pili,+ Zekaria,+ Beni na Yaazieli na Shemiramothi na Yehieli na Uni, Eliabu na Benaya na Maaseya na Matithia na Elifelehu na Mikneya, na Obed-edomu+ na Yeieli watunza-malango, 19 na waimbaji Hemani,+ Asafu+ na Ethani, wakiwa na matoazi ya shaba ili kuyapiga kwa sauti;+ 20 na Zekaria na Azieli+ na Shemiramothi na Yehieli na Uni na Eliabu na Maaseya na Benaya wakiwa na vinanda vilivyorekebishwa kupatana na sauti ya Alamothi,+ 21 na Matithia+ na Elifelehu na Mikneya na Obed-edomu na Yeieli na Azazia wakiwa na vinubi+ vilivyorekebishwa kupatana na Sheminithi,+ wawe viongozi; 22 na Kenania+ mkuu wa Walawi juu ya uchukuzi, yeye akitoa maagizo katika kuchukua, kwa maana alikuwa mwenye ujuzi;+ 23 na Berekia na Elkana watunza-malango+ kwa ajili ya Sanduku; 24 na Shebania na Yoshafati na Nethaneli na Amasai na Zekaria na Benaya na Eliezeri makuhani wakizipiga tarumbeta+ kwa sauti kubwa mbele ya sanduku la Mungu wa kweli, na Obed-edomu na Yehia watunza-malango wa Sanduku.

25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+ 26 Na ikawa kwamba wakati Mungu wa kweli alipowasaidia+ Walawi wakiwa wamelichukua sanduku la agano la Yehova, wakatoa dhabihu ng’ombe-dume saba wachanga na kondoo-dume saba.+ 27 Naye Daudi alikuwa amevaa koti lisilo na mikono la kitambaa laini, na pia Walawi wote waliochukua Sanduku na waimbaji na Kenania+ mkuu wa uchukuzi wa waimbaji;+ lakini Daudi alikuwa amevaa efodi+ ya kitani. 28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+

29 Na ikawa kwamba wakati sanduku la agano+ la Yehova lilipokuja mpaka Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kutoka dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kusherehekea;+ naye akaanza kumdharau+ moyoni mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki