3 Hata hivyo, wakalipandisha sanduku la Mungu wa kweli juu ya gari jipya la kukokotwa,+ ili walichukue kutoka katika nyumba ya Abinadabu,+ iliyokuwa juu ya mlima; na Uza na Ahio,+ wana wa Abinadabu, walikuwa wakiliongoza lile gari jipya.
7 Hata hivyo, wakapandisha sanduku la Mungu wa kweli juu ya gari jipya la kukokotwa+ kutoka katika nyumba ya Abinadabu, na Uza na Ahio+ walikuwa wakiliongoza lile gari.