1 Samweli 7:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi watu wa Kiriath-yearimu+ wakaja, nao wakalipandisha sanduku la Yehova na kuliingiza katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwana wake ili alinde sanduku la Yehova.
7 Basi watu wa Kiriath-yearimu+ wakaja, nao wakalipandisha sanduku la Yehova na kuliingiza katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, nao wakamtakasa Eleazari mwana wake ili alinde sanduku la Yehova.