-
2 Samweli 6:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Mwishowe Mfalme Daudi akaletewa habari, kusema: “Yehova ameibariki nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote kwa sababu ya lile sanduku la Mungu wa kweli.” Kwa hiyo Daudi akaenda, akalitoa lile sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Obed-edomu, akaliweka katika Jiji la Daudi kwa kushangilia.+
-