1 Mambo ya Nyakati 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+ Zaburi 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Inueni vichwa vyenu, enyi malango,+Na mjiinue, enyi miingilio ya kudumu,+ Ili Mfalme mtukufu apate kuingia!”+ Zaburi 68:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wameona maandamano yako, Ee Mungu,+Maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kuingia mahali patakatifu.+
25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+
7 “Inueni vichwa vyenu, enyi malango,+Na mjiinue, enyi miingilio ya kudumu,+ Ili Mfalme mtukufu apate kuingia!”+
24 Wameona maandamano yako, Ee Mungu,+Maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kuingia mahali patakatifu.+