12 Mfalme Daudi akaambiwa hivi: “Yehova ameibariki nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote kwa sababu ya Sanduku la Mungu wa kweli.” Basi Daudi akaenda kulichukua Sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Obed-edomu na kulipandisha kwa shangwe katika Jiji la Daudi.+