-
1 Mambo ya Nyakati 15:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kisha Daudi na wazee wa Israeli na wakuu wa maelfu walikuwa wakitembea kandokando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ wakishangilia.+ 26 Mungu wa kweli alipowasaidia Walawi waliokuwa wakilibeba sanduku la agano la Yehova, waliwatoa dhabihu ng’ombe dume saba wachanga na kondoo dume saba.+
-