25 Kisha Daudi na wazee wa Israeli na wakuu wa maelfu walikuwa wakitembea kandokando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ wakishangilia.+
28 Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa kelele za shangwe,+ wakipiga pembe, tarumbeta,+ matoazi, na kupiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+