1 Mambo ya Nyakati 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+
28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+