2 Samweli 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Daudi na nyumba yote ya Israeli wakawa wanalipandisha sanduku+ la Yehova kwa sauti za shangwe+ na sauti za baragumu.+ 1 Mambo ya Nyakati 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+
15 Na Daudi na nyumba yote ya Israeli wakawa wanalipandisha sanduku+ la Yehova kwa sauti za shangwe+ na sauti za baragumu.+
8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+