Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Waisraeli wote walikuwa wakilipandisha sanduku la agano la Yehova kwa sauti za shangwe+ na kwa kupiga baragumu+ na kwa tarumbeta+ na kwa matoazi,+ wakipiga kwa sauti kubwa vinanda na vinubi.+

  • Zaburi 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Enyi vikundi vyote vya watu, pigeni makofi.+

      Mpigieni Mungu kelele za ushindi kwa vigelegele vya shangwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki