Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha akamtoa nje mwana+ wa mfalme, akamvika taji+ na ule Ushuhuda;+ na basi wakamfanya kuwa mfalme+ na kumtia mafuta.+ Nao wakaanza kupiga makofi+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+

  • Zaburi 98:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+

      Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+

  • Isaya 55:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa maana ninyi mtaenda kwa kushangilia,+ nanyi mtaingizwa ndani kwa amani.+ Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+ nayo miti ya porini itapiga makofi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki