Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+

  • Zaburi 72:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeye na aishi,+ na apewe sehemu ya dhahabu ya Sheba.+

      Na kwa ajili yake sala na itolewe daima;

      Na abarikiwe mchana kutwa.+

  • Mhubiri 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki