1 Wafalme 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+ Zaburi 72:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeye na aishi,+ na apewe sehemu ya dhahabu ya Sheba.+Na kwa ajili yake sala na itolewe daima;Na abarikiwe mchana kutwa.+ Mhubiri 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+
34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+
15 Yeye na aishi,+ na apewe sehemu ya dhahabu ya Sheba.+Na kwa ajili yake sala na itolewe daima;Na abarikiwe mchana kutwa.+
17 Ewe nchi, una furaha wakati mfalme wako ni mwana wa watu wenye vyeo na wakuu wako hula wakati unaofaa ili kuwa na uwezo, wala si kwa ajili ya kunywa tu.+