10 Ndipo akampa+ mfalme talanta 120 za dhahabu+ na mafuta mengi sana ya zeri+ na mawe ya thamani. Hayakuletwa kamwe tena mafuta ya zeri yaliyo mengi kama yale ambayo malkia wa Sheba alimpa Mfalme Sulemani.
6 Wingi unaosukasuka wa ngamia utakufunika, ngamia-dume wachanga wa Midiani na wa Efa.+ Wale wote kutoka Sheba+—watakuja. Watabeba dhahabu na ubani. Nao watatangaza sifa za Yehova.+