Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Alikuomba uhai. Ukampa huo,+

      Urefu wa siku mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Yohana 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+

  • 1 Yohana 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)

  • Ufunuo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki