Zaburi 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alikuomba uhai. Ukampa huo,+Urefu wa siku mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Yohana 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+ 1 Yohana 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,) Ufunuo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+
19 Bado muda kidogo zaidi na ulimwengu hautaniona tena,+ lakini ninyi mtaniona,+ kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa,+ na sisi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwapa ninyi habari juu ya uzima wa milele+ ambao ulikuwa pamoja na Baba na ukafunuliwa kwetu,)
18 na aliye hai;+ nami nilikufa,+ lakini, tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo+ na za Kaburi.*+