10Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
3 Nawe uchukue chupa ya mafuta uyamimine juu ya kichwa+ chake na kusema, ‘Yehova amesema hivi: “Ninakutia mafuta+ uwe mfalme+ juu ya Israeli.”’ Nawe ufungue mlango, ukimbie, wala usingoje.”