Yeremia 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+ Danieli 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+
5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+
21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+