Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+

      Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+

  • Zaburi 115:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+

  • Zaburi 146:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mtengenezaji wa mbingu na dunia,+

      Wa bahari, na vyote vilivyomo,+

      Yeye anayedumisha ukweli mpaka wakati usio na kipimo,+

  • Isaya 44:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?

  • Isaya 45:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mimi mwenyewe nimeifanya dunia+ nami nimemuumba mwanadamu juu yake.+ Mimi—mikono yangu mwenyewe imezitandaza mbingu,+ nami nimeliamuru jeshi lake lote.”+

  • Yeremia 51:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yeye aliye Fungu la Yakobo si kama vitu hivyo,+ kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa kila kitu,+ fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki