24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?
17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Tazama, wewe mwenyewe umeziumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa.+ Jambo hilo lote si la ajabu mno kwako,+