42 (kwa maana watasikia habari za jina lako kuu+ na za mkono wako wenye nguvu+ na za mkono wako ulionyooshwa), naye kwa kweli aje na kusali kuelekea nyumba hii,+
5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+