Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akikaza moyo wake juu ya mtu yeyote,

      Akijikusanyia kwake roho na pumzi ya mtu huyo,+

  • Zaburi 146:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+

      Siku hiyo mawazo yake hupotea.+

  • Mhubiri 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+

  • Matendo 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki