15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+
26 “Inueni macho yenu juu, mwone. Ni nani ameviumba vitu hivi?+ Ni Yeye anayelileta jeshi lake kulingana na hesabu, ambaye zote anaziita kwa jina.+ Kutokana na wingi wa nguvu zenye msukumo,+ yeye pia akiwa hodari katika nguvu, hakuna hata moja kati ya hizo inayokosekana.
12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+