Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+

  • 2 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+

  • Zaburi 102:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+

      Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+

  • Isaya 40:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Inueni macho yenu juu, mwone. Ni nani ameviumba vitu hivi?+ Ni Yeye anayelileta jeshi lake kulingana na hesabu, ambaye zote anaziita kwa jina.+ Kutokana na wingi wa nguvu zenye msukumo,+ yeye pia akiwa hodari katika nguvu, hakuna hata moja kati ya hizo inayokosekana.

  • Yeremia 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki