2 Mambo ya Nyakati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+ Danieli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+
3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+