9 na kufanya watu waone jinsi siri takatifu+ inavyosimamiwa+ ambayo tangu wakati uliopita usio na kipimo imefichwa katika Mungu, aliyeviumba vitu vyote.+
6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+