28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
16 kwa sababu kwa njia yake+ vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana, hata viwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka.+ Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye+ na kwa ajili yake.