Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.” Ayubu 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+ Luka 1:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 kwa sababu kwa Mungu hakuna tangazo lolote lisilowezekana.”+ Waroma 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na akiwa amesadikishwa kikamili kwamba lile alilokuwa ameahidi alikuwa na uwezo pia wa kulifanya.+
14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”
2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+
21 na akiwa amesadikishwa kikamili kwamba lile alilokuwa ameahidi alikuwa na uwezo pia wa kulifanya.+