Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+ Luka 1:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 kwa sababu kwa Mungu hakuna tangazo lolote lisilowezekana.”+
26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+