Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”

  • Zaburi 115:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+

      Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+

  • Yeremia 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Tazama, wewe mwenyewe umeziumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa.+ Jambo hilo lote si la ajabu mno kwako,+

  • Zekaria 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Ijapokuwa jambo hili lionekane gumu mno machoni pa mabaki ya watu hawa katika siku hizo, je, lionekane gumu mno machoni pangu pia?’+ asema Yehova wa majeshi.”

  • Mathayo 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki