-
Zekaria 8:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Ingawa jambo hilo huenda likaonekana kuwa gumu kwa watu wa taifa hili watakaobaki siku hizo, je, linaweza kuwa gumu sana machoni pangu pia?’ asema Yehova wa majeshi.”
-