Ayubu 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+ Yeremia 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Mimi hapa, Yehova, Mungu wa wote wenye mwili.+ Je, kwangu mimi kuna jambo lolote ambalo ni la ajabu mno?+ Marko 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akiwatazama moja kwa moja Yesu akasema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+ Luka 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akasema: “Mambo yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”+
2 “Nimepata kujua kwamba unaweza kufanya mambo yote,+Wala hakuna wazo lolote ambalo huwezi kulifikia.+
27 “Mimi hapa, Yehova, Mungu wa wote wenye mwili.+ Je, kwangu mimi kuna jambo lolote ambalo ni la ajabu mno?+
27 Akiwatazama moja kwa moja Yesu akasema: “Kwa wanadamu haiwezekani, lakini sivyo ilivyo kwa Mungu, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”+