Hesabu 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+ Hesabu 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yehova Mungu wa roho+ za namna zote za mwili+ na aweke rasmi juu ya kusanyiko mwanamume+ Luka 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na wote wenye mwili wataona njia ya Mungu ya kuokoa.’ ”+ Waroma 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+
22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+
29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+