Hesabu 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+ Zaburi 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naikabidhi roho yangu mkononi mwako.+Umenikomboa,+ Ee Yehova Mungu wa ukweli.+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+