17 “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Tazama, wewe mwenyewe umeziumba mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu+ na kwa mkono wako ulionyooshwa.+ Jambo hilo lote si la ajabu mno kwako,+
6 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Ijapokuwa jambo hili lionekane gumu mno machoni pa mabaki ya watu hawa katika siku hizo, je, lionekane gumu mno machoni pangu pia?’+ asema Yehova wa majeshi.”