Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anaitandaza kaskazini juu ya mahali pasipo na kitu,+

      Akiitundika dunia pasipo na kitu;

  • Zaburi 104:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unayejifunika nuru kama vazi,+

      Unayezitandaza mbingu kama hema,+

  • Isaya 40:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kuna Yeye anayekaa juu ya mviringo wa dunia,+ ambayo wakaaji wake ni kama panzi, Yeye anayetandaza mbingu kama shashi bora, anayezitandaza kama hema la kukaliwa ndani,+

  • Isaya 45:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mimi mwenyewe nimeifanya dunia+ nami nimemuumba mwanadamu juu yake.+ Mimi—mikono yangu mwenyewe imezitandaza mbingu,+ nami nimeliamuru jeshi lake lote.”+

  • Isaya 51:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kwamba umsahau Yehova Mtengenezaji wako,+ Yeye anayezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia,+ hivi kwamba ulikuwa na hofu sikuzote mchana kutwa kwa sababu ya ghadhabu ya mtu anayekusonga,+ kana kwamba alikuwa amejitayarisha kukuangamiza?+ Na iko wapi ghadhabu ya yule anayekusonga?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki