Zaburi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;Yehova mwenyewe atawadharau.+ Zaburi 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ameketi juu ya gharika;+Na Yehova huketi akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 68:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa Yule anayepanda mbingu ya mbingu za kale.+Lo! Anavumisha sauti yake, sauti yenye nguvu.+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+