Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;

      Yehova mwenyewe atawadharau.+

  • Zaburi 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova ameketi juu ya gharika;+

      Na Yehova huketi akiwa mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 68:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa Yule anayepanda mbingu ya mbingu za kale.+

      Lo! Anavumisha sauti yake, sauti yenye nguvu.+

  • Isaya 66:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki