Ayubu 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anatandaza mbingu akiwa peke yake+Na kuyakanyaga mawimbi makubwa ya bahari;+ Zaburi 104:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unayejifunika nuru kama vazi,+Unayezitandaza mbingu kama hema,+ Isaya 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+
2 Unayejifunika nuru kama vazi,+Unayezitandaza mbingu kama hema,+ Isaya 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+
5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+