Mwanzo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+ Zaburi 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbingu zilifanywa kwa neno la Yehova,+Nayo majeshi yake yote yalifanywa kwa roho ya kinywa chake.+ Isaya 44:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?
24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?