3 Kwa imani tunatambua kwamba mifumo ya mambo+ ilipangwa kwa utaratibu kwa neno la Mungu,+ hivi kwamba kile kinachoonekana kimekuja kutokana na vitu visivyoonekana.+
5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;