Zaburi 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mbingu zilifanywa kwa neno la Yehova,+Nayo majeshi yake yote yalifanywa kwa roho ya kinywa chake.+ 2 Petro 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;
5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;