55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
24 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, amesema hivi: “Msiogope, enyi watu wangu mnaokaa katika Sayuni,+ kwa sababu ya Mwashuru, aliyekuwa akiwapiga kwa fimbo+ na aliyekuwa akiinua fimbo yake juu yenu kama Misri alivyofanya.+