Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Methali 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu;+ naye anayetenda kwa hila huchukua mahali pa wanyoofu.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+