Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+ Kumbukumbu la Torati 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+ Zaburi 79:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+
31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+
25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+
2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+