Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 mimi pia nitawatoa kwa ajili ya kutetemesha, kwa ajili ya msiba, katika falme zote za dunia,+ kwa ajili ya shutuma na kwa ajili ya neno la kimethali, kwa ajili ya suto+ na kwa ajili ya laana,+ katika mahali pote nitakapowatawanya.+

  • Yeremia 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Nami nitawafuatilia kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni, nami nitawatoa wawe kitu cha kutetemesha falme zote za dunia,+ kuwa laana na kuwa kitu cha kushangaza na kuwa kitu cha kupigiwa mluzi na kuwa kitu cha kushutumiwa katikati ya mataifa yote ambako hakika nitawatawanya,+

  • Ezekieli 23:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kutaniko litaletwa juu yao+ nao watafanywa kuwa kitu chenye kutisha na kitu cha kuporwa.+

  • Luka 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 nao wataanguka kwa makali ya upanga na watapelekwa mateka katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa, mpaka nyakati zilizowekwa+ za mataifa zitimie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki