Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.

  • Kumbukumbu la Torati 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ghadhabu+ ya Yehova ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu, hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutetemesha watu,+ kitu cha kushangaza+ na kisababishi cha kupiga mluzi,+ kama vile mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.

  • Yeremia 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutetemesha falme zote za dunia+ kwa sababu ya Manase mwana wa Hezekia, mfalme wa Yuda, kwa sababu ya yale aliyofanya Yerusalemu.+

  • Yeremia 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitatuma juu yao upanga,+ njaa+ na tauni,+ mpaka waufikie mwisho wao kutoka katika nchi niliyowapa wao na mababu zao.”’”+

  • Yeremia 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Ninyi hamkunitii mimi kwa kuendelea kumtangazia uhuru+ kila mtu ndugu yake na kila mtu mwenzake. Tazama, mimi ninawatangazia ninyi uhuru,’+ asema Yehova, ‘upanga,+ tauni+ na njaa,+ na hakika mimi nitawatoa ninyi kwa ajili ya kutetemesha falme zote za dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki