Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Yehova amesema hivi kuwahusu wale manabii wanaotoa unabii katika jina langu na ambao mimi sikuwatuma na ambao wanasema kwamba hakuna upanga wala njaa itakayokuja katika nchi hii, ‘Hao manabii watamalizwa kwa upanga na kwa njaa.+

  • Yeremia 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itakuwa kwamba ikiwa watakuambia, ‘Tutoke twende wapi?’ wewe pia uwaambie, ‘Yehova amesema hivi: “Yeyote aliyekusudiwa tauni yenye kufisha, aende kwenye tauni yenye kufisha! Na yeyote aliyekusudiwa upanga, aende kwenye upanga! Na yeyote aliyekusudiwa njaa, aende kwenye njaa!+ Na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani, aende utekwani!”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki