Yeremia 43:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa mapigo yenye kufisha atapigwa kwa mapigo yenye kufisha, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa upanga atapigwa kwa upanga.+ Ezekieli 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Sema, ‘Mimi ni ishara+ kwenu. Kama vile nilivyotenda, ndivyo watakavyotendewa. Wataenda uhamishoni, utekwani.+
11 Naye ataingia na kuipiga nchi ya Misri.+ Yeyote aliyekusudiwa mapigo yenye kufisha atapigwa kwa mapigo yenye kufisha, na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani ataenda utekwani, na yeyote aliyekusudiwa upanga atapigwa kwa upanga.+
11 “Sema, ‘Mimi ni ishara+ kwenu. Kama vile nilivyotenda, ndivyo watakavyotendewa. Wataenda uhamishoni, utekwani.+