Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Farao mfalme wa Misri na watumishi wake na wakuu wake na watu wake wote;+

  • Yeremia 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:

  • Yeremia 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Neno ambalo Yehova alimwambia Yeremia nabii kuhusu kuja kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni ili kuipiga nchi ya Misri:+

  • Ezekieli 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninampa Nebukadreza mfalme wa Babiloni nchi ya Misri,+ naye atauchukua utajiri wake na kuteka nyara kubwa kutokana nayo+ na kuipora kwa wingi sana; nayo itakuwa malipo kwa ajili ya jeshi lake.’

  • Ezekieli 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na hakika upanga utaingia Misri,+ na maumivu makali yatatukia Ethiopia wakati ambapo mtu ataanguka akiwa ameuawa katika Misri nao kwa kweli wachukue mali yake nayo misingi yake kwa kweli ibomolewe.+

  • Ezekieli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na katika Tehafnehesi+ siku itakuwa na giza, nitakapovunja huko nira za Misri.+ Na katika yeye fahari ya nguvu zake kwa kweli itakomeshwa.+ Na kwa habari yake, mawingu yatamfunika,+ na miji yake mwenyewe ya kandokando itaenda utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki