Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Farao mfalme wa Misri na watumishi wake na wakuu wake na watu wake wote;+

  • Ezekieli 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako kwa Farao mfalme wa Misri+ na utoe unabii juu yake na juu ya Misri yote.+

  • Ezekieli 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mfanyie wimbo wa huzuni Farao mfalme wa Misri, nawe utamwambia, ‘Umenyamazishwa kama mwana-simba wa mataifa mwenye manyoya shingoni.+

      “ ‘Nawe umekuwa kama mnyama mkubwa wa majini katika bahari,+ nawe uliendelea kufoka katika mito yako, nawe ukaendelea kutibua maji kwa miguu yako na kuichafua mito yao.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki